Ezra 2
NMM

Ezra 2

2
Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni
(Nehemia 7:4-73)
1 # 2Nya 36:20; Neh 7:6; 11:3; 2Fal 24:16; 25:12; Ezr 5:8; 6:2; Es 1:1; 8:9 Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 2#1Nya 3:19; 6:14; Hag 2:4; Zek 3:1-10wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):
Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3# Ezr 10:25; Neh 3:25 wazao wa Paroshi 2,172
4wazao wa Shefatia 372
5# Neh 6:18 wazao wa Ara 775
6wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7wazao wa Elamu 1,254
8wazao wa Zatu 945
9wazao wa Zakai 760
10wazao wa Bani 642
11wazao wa Bebai 623
12wazao wa Azgadi 1,222
13# Ezr 8:13; 7:18 wazao wa Adonikamu 666
14wazao wa Bigwai 2,056
15wazao wa Adini 454
16wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17wazao wa Besai 323
18wazao wa Yora 112
19wazao wa Hashumu 223
20# Yos 9:17 wazao wa Gibari 95
21# Mik 5:2; 1Nya 2:51; Rut 1:19; Mt 2:6; 2Sam 21:2; Mwa 35:19 watu wa Bethlehemu 123
22wa Netofa 56
23watu wa Anathothi 128
24watu wa Azmawethi 42
25wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26# Yos 18:25; 1Sam 7:17; Yer 31:15 wazao wa Rama na Geba 621
27watu wa Mikmashi 122
28# Mwa 12:8 watu wa Betheli na Ai 223
29wazao wa Nebo 52
30wazao wa Magbishi 156
31# Ezr 2:7 wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32wazao wa Harimu 320
33wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34# Kum 34:3; 2Nya 28:15; 1Fal 16:34 wazao wa Yeriko 345
35wazao wa Senaa 3,630
36 # 1Nya 9:10; 24:7 Makuhani:
wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37# 1Nya 24:14; Ezr 10:20 wazao wa Imeri 1,052
38# 1Nya 9:12; Ezr 10:22 wazao wa Pashuri 1,247
39# 1Nya 24:8 wazao wa Harimu 1,017
40 # Mwa 29:34; Hes 3:9; Ezr 3:9 Walawi:
Wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 # 1Nya 15:16 Waimbaji:
wazao wa Asafu 128
42 # 1Sam 3:15; 1Nya 9:17 Mabawabu wa lango la Hekalu:
wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 # 1Nya 9:2 Watumishi wa Hekalu:#2:43 Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).
wazao wa
Siha, Hasufa, Tabaothi,
44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54wazao wa Nesia na Hatifa.
55 # 1Fal 9:21 Wazao wa watumishi wa Sulemani:
wazao wa
Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57wazao wa Shefatia, Hatili,
Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58# 1Fal 9:21; Ezr 7:7; Yos 9:21-27; 1Nya 9:2 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Sulemani 392
59 # Hes 1:18 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 # 2Sam 17:27; 1Fal 2:7 Kutoka miongoni mwa makuhani:
Wazao wa
Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 # Hes 16:39-40; 3:10 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 63#Neh 8:9; Hes 18:9-11; Kut 28:30; Law 2:3-10Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.#2:63 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.
64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 65#2Sam 19:35tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. 66#Isa 66:20Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 67ngamia 435 na punda 6,720.
68 # Kut 15:2 Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake. 69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000#2:69 Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500. za dhahabu, mane 5,000#2:69 Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900. za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 # 1Nya 9:2; Neh 11:3-4 Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

Kiswahili Contemporary Scriptures (Neno: Maandiko Matakatifu)

Copyright © 2018 by Biblica, Inc.®

All Rights Reserved Worldwide.

Learn More About Neno: Maandiko Matakatifu