12
Orodha Ya Wafalme Walioshindwa
1 #
Za 136:21; Hes 32:19; Hes 21:13; Kum 3:8; Yos 11:2 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
2 #
Yos 12:5; Hes 21:21-25; Yos 13:10; Amu 11:19; Hes 32:34; Yos 13:16; Mwa 19:38; 31:21; 32:22; Hes 32:26; Kum 2:36; 3:15; Yos 13:11, 25; 17:1; 20:8; 21:38; Amu 5:17; 7:3; 10:8 Sihoni mfalme wa Waamori,
ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi. 3#Yos 11:2; Mwa 14:3; Hes 33:49; Yos 13:20; Hes 21:20Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi#12:3 Yaani Bahari ya Galilaya. hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi#12:3 Yaani Bahari Mfu.), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
4 #
Hes 21:21; 33; Yos 13:30; Mwa 14:5; Kum 1:4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani,
aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei. 5#Kum 3:10; Hes 32:33; Yos 17:1; 20:8; 21:27; 22:7; Yos 13:2, 13; 1Sam 27:8; Kum 3:14Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
6 #
Kum 3:8; Hes 32:29-33; Yos 13:8 Musa, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Musa mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
7 #
Yos 11:17
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao: 8#Ezr 9:1; Kum 1:7; Yos 3:10; 11:17nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
9#
Hes 33:48; Mwa 12:8; Yos 8:1; Yos 7:2; 8:9; 18:13; Amu 1:23; 4:4; 20:18; 21:2; Neh 11:31 mfalme wa Yeriko |
mmoja |
mfalme wa Ai (karibu na Betheli) |
mmoja |
10#
Yos 10:1
mfalme wa Yerusalemu |
mmoja |
mfalme wa Hebroni |
mmoja |
11#
Yos 10:3
mfalme wa Yarmuthi |
mmoja |
mfalme wa Lakishi |
mmoja |
12#
Yos 10:3, 33 mfalme wa Egloni |
mmoja |
mfalme wa Gezeri |
mmoja |
13mfalme wa Debiri |
mmoja |
mfalme wa Gederi |
mmoja |
14#
Hes 14:45; Hes 21:1 mfalme wa Horma |
mmoja |
mfalme wa Aradi |
mmoja |
15#
Hes 33:20; Mwa 38:1; Yos 15:35; Mik 1:15 mfalme wa Libna |
mmoja |
mfalme wa Adulamu |
mmoja |
16#
Yos 10:10; Yos 7:2 mfalme wa Makeda |
mmoja |
mfalme wa Betheli |
mmoja |
17#
Yos 15:34; 16:8; 17:8; Yos 11:22; 1Fal 4:10 mfalme wa Tapua |
mmoja |
mfalme wa Heferi |
mmoja |
18#
Yos 13:4; 19:30; Amu 1:31; 1Sam 4:1; 29:1 mfalme wa Afeki |
mmoja |
mfalme wa Lasharoni |
mmoja |
19#
Yos 11:1
mfalme wa Madoni |
mmoja |
mfalme wa Hazori |
mmoja |
20#
Yos 11:1
mfalme wa Shimron-Meroni |
mmoja |
mfalme wa Akishafu |
mmoja |
21#
Yos 17:11; 21:25; Amu 1:27; 5:19; 1Fal 4:12 mfalme wa Taanaki |
mmoja |
mfalme wa Megido |
mmoja |
22#
Yos 15:23; 19:37; 20:7; 21:32; Amu 4:6-9; Yos 19:11; Yos 21:34; Yos 15:55; 19:26; 1Sam 15:12; 2Sam 23:35 mfalme wa Kedeshi |
mmoja |
mfalme wa Yokneamu katika Karmeli |
mmoja |
23#
Yos 11:2
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori)#12:23 Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori. |
mmoja |
mfalme wa Goimu katika Gilgali |
mmoja |
24#
1Fal 14:17; 15:33; 16:8, 23; Wim 6:4; Za 135:11; 136:18 mfalme wa Tirsa |
mmoja |
wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.